JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Uhusiano na Kenya uwe wa kudumu, lakini… 

Wiki iliyopita Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wamefanya mazungumzo Ikulu ya Dar es Salaam na kufikia makubaliano kadhaa muhimu kwa wananchi wa mataifa haya jirani. Mazungumzo yao yalikamilika kwa kutiliana saini mikataba minane katika nyanja…

Mangula: Rais aungwe mkono

Akemea upotoshwaji wa masuala nyeti ya kitaifa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bara, Philip Mangula, amesema ni kawaida kwa kiongozi mahiri kuanzisha au kukamilisha miradi ya maendeleo hata iliyo nje ya ilani ya uchaguzi ya chama chake kwa…

Mnyeti kikaangoni

*Tume ya Haki za Binadamu yabainisha matumizi mabaya ya ofisi *Ashirikiana na mwindaji kuhujumu biashara za mwekezaji *Atuhumiwa kupokea ‘rushwa’ ya visima Uchaguzi Mkuu 2020 *Mwenyewe ang’aka, asema; ‘tusiongee kama wahuni, nendeni mahakamani’ DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hadhi…

Polisi wachunguza madai ya Mbunge

MBOGWE Na Antony Sollo Polisi mkoani Geita wameanza uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa bungeni wiki chache zilizopita kuwa maofisa madini mkoani hapa wamewaua kikatili watu sita. Tuhuma hizo zilitolewa bungeni jijini Dodoma na Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga, akidai kuwa mmoja…

Kukatika umeme ni hujuma?

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Ni ukweli usiopingika kwamba kumekuwa na tatizo la mgawo wa umeme katika maeneo mbalimbali yaliyo katika Gridi ya Taifa katika siku za karibuni. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),…

Mabadiliko tabianchi, hatima ya kilimo chetu

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi  Tanzania inajulikana kuwa ni nchi ya wakulima na wafanyakazi. Alama katika bendera ya TANU na baadaye CCM ni jembe na nyundo. Alama ya jembe inawakilisha wakulima na nyundo inawakilisha kundi la wafanyakazi katika…