JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Majirani waomba wavamizi  eneo la mjane waondolewe 

Na Aziza Nangwa DAR E S SALAAM Zaidi ya wakazi 1,000 wa Kijiji cha Pugu Kinyamwezi wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia jirani yao, Frida Keysi, kuishi kwa amani baada ya eneo lake kuvamiwa mara kwa mara na watu wenye…

Mambo ya msingi yasiyozungumzwa  kwenye siasa za maridhiano Afrika

KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Kumekuwa na hoja kutoka kwa wanasiasa na wadau wa siasa kuhusu kutaka maridhiano kutoka pande zote; wa upinzani na chama tawala, na hadi inaingia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kumekuwa na madai hayo ya wanasiasa…

Mkakati wa kuondoa ‘Divisheni 0’ Arusha

Arusha Na Mwandishi Wetu Halmashauri ya Jiji la Arusha imedhamiria kuinua sekta ya elimu kwa kuboresha mazingira mazuri ya kufundishia na kujifunzia ili kuondoa daraja sifuri kwa wanafunzi wa kidato cha pili na nne kwa kutenga kiasi cha fedha kutoka…

Namna ya kuzungumza mtoto akusikilize, aongee

ARUSHA Na Dk. Pascal Kang’iria  Tangu zamani jamii duniani imekuwa ikipitia maisha ya kila namna – yenye uzuri na ubaya ndani yake. Vizazi kadhaa vimepita vikirithishana tamaduni mbalimbali. Sehemu kubwa ya kufanya utamaduni kuwa makini na wenye tija, ni kupitia…

Funga mwaka ya Rais Samia 

DAR ES SALAAM NA MWALIMU SAMSON SOMBI Machi 19, mwaka jana Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania baada ya kifo cha mtangulizi wake, Rais Dk. John Magufuli, kilichotokea Machi 17, mwaka jana. Akizungumza katika hotuba yake fupi baada…

Kujiuzulu Ndugai ni ukomavu wa fikra

DAR ES SALAAM Na Javius Kaijage Januari 6, mwaka huu ni siku ambayo Job Ndugai alitangaza kujiuzulu nafasi yake ya uspika wa Bunge, hivyo kuandika historia mpya katika kitabu cha Tanzania. Ni historia mpya kwa maana kwamba kumbukumbu zinaonyesha kuwa…