Category: MCHANGANYIKO
Uongozi Yanga: Manara hakutendewa haki
Baada ya Kamati ya Maadili ya TFF kumkuta na hatia Haji Manara na kumfungia miaka miwili kutojihusisha na soka ndani na nje ya nchi na faini ya sh. milioni 20 kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia,…
Mwigizaji wa filamu ‘Sonia’ afariki dunia
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Farida Sabu maarufu ‘Sonia’ amefariki dunia.Sonia amewahi kuwika katika maigizo mbalimbali ya kundi la Kaole. Mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji, Chiki Mchoma amethibitishwa leo Alhamisi Julai 21, 2022 na Amesema marehemu Sonia amefikwa na umauti…
Uganda yajifunza usafirishaji mafuta ghafi TAZAMA
NA Zuena Msuya, JamhuriMedia,Dar Serikali kupitia Wizara ya Nishati imepokea Ujumbe kutoka nchini Uganda waliokuja nchini, kuona na kujifunza mambo mbalimbali kuhusu sekta ya Mafuta hasa usafirishaji wa mafuta ghafi kupitia Bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Tanzania hadi Zambia…
‘Asiyeshiriki kuhesabiwa anarudisha nyuma maendeleo’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Hanang’ Serikali imepanga kuhesabu kwa mara moja watu wote watakaolala nchini kwenye usiku wa kuamkia siku ya sensa Agosti 23 mwaka huu. Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ameyasema hayo mji mdogo wa Katesh Wilayani…