JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

EWURA yaweka utaratibu wa kuomba leseni ya biashara ya mafuta rejareja

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema kuwa inaangalia usalama wa mafuta kwa watumiaji hivyo kufanya biashara ya mafuta bila leseni ni kosa la kisheria. Imesema kuwa kanuni za uendeshaji wa biashara ya…

Ndalichako awataka vijana kuchangamkia fursa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kasulu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako amewataka vijana kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali kupitia Programu ya Taifa Taifa ya Kukuza Ujuzi ili kuweza kupata ujuzi na stadi za kazi stahiki…

Balile:Kuna matumaini mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya habari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi 10 zimeandikiwa wito wa kuhudhuria mjadala wa kupitisha sheria za habari zinazolalamikiwa kuhusiana na mabadiliko ya vifungu mbalimbali vya habari ambayo wadau wanavipigia kelele kwamba, vinaminya uhuru wa habari nchini. Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa…

Mtoto ajiua baada ya baba yake kumfokea

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe JESHI la Polisi mkoani Njombe limewaomba viongozi wa makanisa na misikiti kutoa mafunzo mema ya dini kwa watoto ili kupunguza matukio ya vijana ama watoto kujichukulia sheria mkononi kwa kujiua. Akizungumza na waandishi wa habari…

Kortini kwa tuhuma za kumrubuni na kumbaka mtoto Serengeti

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Serengeti Mkazi wa Kijiji cha Nyankomogo Kata ya Rigicha, John Warioba Riana (33), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka (13). Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya ya Serengeti Jakobo…