Category: MCHANGANYIKO
Kenya yajifunza Tanzania kuhusu usalama na afya mahala pa kazi
Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umepokea ujumbe wa Kurugenzi ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ya Kenya (DOSHS) wenye dhumuni la kujifunza kutokana na mafanikio ya WCF Tanzania na kuboresha mahusiano baina ya taasisi hizo mbili. Akizungumza baada…
TEF:Tunataka sheria za habari zitupe mwongozo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema kuwa duniani kuna mifumo mitatu ya usimamizi wa vyombo vya habari ambapo kila Serikali huamua kuchagua mfumo mmoja ambao utawaunganisha na wana habari. Hayo ameyabainisha leo katika…
Dk.Chaula ataka ubunifu uendeshaji makazi ya wazee
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula amewataka Maafisa Wafawidhi wa Makazi ya Wazee yanayohudumiwa na Serikali kuwa wabunifu katika uendeshaji wa Makazi hayo kwa kuwa na miradi mbalimbali itakayowezesha Wazee kupata…
TAKUKURU yapewa kibarua kuchunguza mradi wa afya Sikongwe
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilayani Sikonge Mkoani hapa imeagizwa kufanya uchunguzi wa kina kwenye mradi wa afya Tutuo unaotekelezwa kwa fedha za serikali kiasi cha sh mil 250. Kiongozi wa Mbio za Mwenge…