JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Vitongoji 82 Tarime vijijini kupelekewa umeme na mradi wa HEP IIB – Kapinga

📌Taasisi 3000 zaunganishiwa umeme na fedha za Covid 19 Vitongoji 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awamu ya Pili B (HEP IIB) ambapo tayari zabuni ya…

Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya TAMISEMI Trilioni 11.78 kwa mwaka 2025/2026

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepitisha kwa kauli moja bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mwaka wa fedha 2025/26 yenye takribani Shilingi trilioni 11. 783 kwa ajili ya…

Masauni awataka Watanzania kuendelea kuuenzi, kuulinda Muungano

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Masauni ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kuuthamini, kuuenzi, kuulinda na kuudumisha Muungano kwa lengo la kusukuma mbele maendeleo ya kiuchumi,…

Zaidi ya bilioni 19 kutumika kwa ujenzi wa barabara, madaraja Manyara – RC Sendiga

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga amesema zaidi ya sh.bil.19 zimetengwa kwaajili ya ujenzi wa kujenga barabara na madaraja katika Halmashauri zote za Mkoa huo. Hayo alizungumza jana wakati akikagua zahanati mpya ya…

Wabunge waitaka Wizara ya Fedha iipe fedha Wizara ya TAMISEMI itekeleze majukumu yake

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dodoma WABUNGE mbalimbali wameipongeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa ufanisi wao ambao wamekuwa wakiufanya katika kuhakikisha miundombinu, elimu, afya na mambo mengine yanafanyika kwa ustadi mkubwa. Akichangia bungeni bajeti…

eMrejesho V2 yachaguliwa kuwania Tuzo za WSIS 2025

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mfumo wa eMrejesho toleo la pili (eMrejeshoV2) kutoka Tanzania, umechaguliwa kuwania Tuzo za Mkutano wa Dunia kuhusu Jamii ya TEHAMA mwaka 2025 (World Summit on the Information Society -WSIS 2025). Tuzo hizi hutolewa chini ya Mkutano wa…