Category: MCHANGANYIKO
WWF yataka viumbe walio
hatarini kutoweka walindwe
Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia,Mtwara Wananchi na asasi kutoka mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma wametakiwa kupaza sauti za kuwalinda viumbe hai walio hatarini kutoweka katika maeneo yao. Akizungumza katika mkutano wa wadau kutoka asasi mbalimbali na wananchi mkoani Mtwara ulioandaliwa na…
NHC yalipa kodi bil.22.0/-, gawio kwa serikali la mil.750/-
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limesema limelipa kodi mbalimbali inayofikia takriban shilingi bilioni 22.0 kwa mwaka 2021/2022 pia limelipa gawio Serikali la sh.milioni 750 kwa mwaka 2021/2022. Shirika limekuwa likichangia kila mwaka gawio la Serikali na…
Mpango afanya mazungumzo na waandishi wa kitabu cha uongozi wa Rais Samia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa viongozi wa vyuo hapa nchini kuchukulia kwa umuhimu jukumu la kuandika na kuielezea vema Tanzania katika vitabu kwa maslahi ya taifa. Makamu wa Rais…
Nyerere:Kila mwananchi anatakiwa kupanda mti na kuutunza
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amewataka wakuu wa wilaya, wakurugenzi pamoja na wakuu wa idara za mazingira kila mmoja kuhakikisha miti inapandwa kama muongozo unavyoelekeza. Hayo ameyasema wakati wa uzinduzi wa zoezi la upandaji miti mkoani hapa na…
Wizara ya Afya yawachukulia hatua watumishi
Serikali imewachukulia hatua watumishi wa wawili wa afya ambao video yao ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha watumishi hao wakijibizana kuhusu matumizi ya vifaa (vitendanishi) vya kupimia malaria vilivyoisha muda wake wa matumizi. Watumishi hao Rose Shirima ambaye ni mkunga…