Category: MCHANGANYIKO
Serikali kufanya maboresho uwanja wa Mkapa
Serikali imeahidi kufanya marekebisho makubwa yanayohitajika katika uwanja wa Benjamin Mkapa ili kukidhi viwango vya kimataifa vinavyohitajika katika michuano ya Africa Super League ambayo Klabu ya Simba ndio mwakalishi wa ukanda wa Afrika Mashariki. Hayo yamesemwa Februari 16, 2023 jijini…
PROF.Mkenda atoa wito kwa Watanzania kuandika vitabu
Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda ametoa wito kwa watanzania kupenda kuandika kwa kuwa kinachoandikwa kinatoa funzo kwa vijana na jamii kwa ujumla. Ametoa wito huo Jijini Dar es Salaam wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa Kitabu On my father’s…
Mkojo wa sungura wageuka almasi
Na Mwandishi Wetu Mkojo wa mnyama mdogo anayefahamika kwa jina la sungura umegeuka almasi kwa wakulima wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Hii ni kutokana na uwezo wa mkojo huo kuzuia na kudhibiti wadudu waharibifu katika mazao ya chakula…
Kukatika kwa umeme, kero ya maji vyawaibua madiwani Pwani
Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha Upungufu wa maji na kukatikakatika kwa Nishati ya Umeme ,imekuwa gumzo na kilio kwa Madiwani wa Kibaha Mjini katika baraza la madiwani ,na kudai ni kero ya muda mrefu iliyo na ukakasi kwenye ufumbuzi wake. Agustino Mdachi…
Yafahamu mataifa saba yasiyoadhimisha siku ya ‘Valentine’
Kwa Mataifa ya Magharibi kila ifikapo Februari 14 wapendanao huitumia siku hii kutumiana jumbe zawadi na maua kuonyeshana hisia na namna kila mmoja anavyompenda mwenziye. Katika siku hii ambayo chimbuko lake ni huko Roma ikihusishwa na askofu wa Kanisa Katoliki…
Hii ndiyo siri iliyoko nyuma ya sikukuu ya wapendanao
Kila ifikapo Februari 14 watu wengi huadhimisha sikukuu ya wapendanao ulimwenguni, na utaratibu huu umedumu kwa karne nyingi ukihusishwa na utamaduni wa magharibi. Watu huadhimisha siku hii kwa namna tofautitofauti ikiwa ni pamoja na kupeana zawadi kama vile maua mekundu,chokoleti…