JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bunge lapitisha bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Aprili 24, 2023 limepitisha Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 kiasi cha ya Sh. 54,102,084,000 kwa matumizi mbalimbali yakiwemo miradi ya maendeleo. Akitoa maelezo kuhusu hoja…

Mabula: Zingatieni masharti ya hati miliki za ardhi

Na Munir Shemweta, JamhuriMedia,Mwanza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wananchi wanaokabidhiwa hati milki za ardhi kuhakikisha wanazingatia masharti yaliyopo kwenye hati sambamba na kufuata mipango kabambe ya maeneo husika. Dkt Mabula amesema hayo…

Urusi, Ukraine wabadilishana wafungwa wa kivita zaidi ya 200

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amethibitisha kuachiliwa kwa wafungwa wa kivita kama sehemu ya makubaliano kati ya Ukraine na Urusi. Makubaliano hayo yalifanikisha kiasi cha wanajeshi 200 waliokuwa wakishikiliwa katika pande zote za mzozo kurejeshwa kwenye mataifa yao. Rais Zelensky…

Majaliwa:Serikali yatoa trilioni 8.64/- kuendeleza miradi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema takribani shilingi trilioni 8.64 zimetolewa na Serikali kwa ajili ya kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo itakayoimarisha uchumi wa nchi na maendeleo ya watu hadi kufikia Januari, 2023. Majaliwa ametaja miradi hiyo saba kuwa ni ya…