Category: MCHANGANYIKO
Rais Mstaafu Kikwete aongoza harambee ya GGML KILL Challenge
Na Mwandishi Wetu Jumla ya Dola za Marekani 700,000 (sawa na Sh bilioni 1.6) zimepatikana katika uzinduzi wa harambee ya kampeni ya GGML Kili Challenge iliyoongozwa na Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kwa lengo la kukusanya Sh bilioni 2.3 fedha…
Yanga bingwa Ligi Kuu Tanzania Bara
Klabu ya Yanga SC imeweka rekodi ikitwaa ubingwa wa 29 Ligi Kuu Tanzania bara Msimu wa 2022/23 baada ya kupata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Dodoma jiji mchezo uliopigwa uwanja wa Azam Complex jijini la Dar es Salaam. Mabao…
CCM Bagamoyo yamtaka DC Okash kusimamia kero ya tembo Kiwangwa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Chama Cha Mapinduzi CCM, Bagamoyo mkoani Pwani, kimemtaka Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Halima Okash kusimamia utatuzi wa kero ya uwepo wa tembo katika kata ya Kiwangwa ambao unadaiwa kuharibu mashamba ya wakulima. Ombi hilo…
Balile:Tunaamini upatikanaji sheria rafiki kwa wanahabari ni ya kidiplomasia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),linaamini kuwa njia bora ya kupigania upatikanaji sheria rafiki kwa vyombo vya habari ni ya kidiplomasia. Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa jukwaa hilo Deodatus Balile,wakati wa mkutano wa mtandaoni (online meeting) uliofanyika…
‘Shule za sekondari, msingi zirudishe mazoezi kwa wanafunzi’
Na WAF – Dar es Salaam Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezitaka shule zote za msingi na sekondari nchini kuwepo na mazoezi ya viungo kwa wanafunzi ikiwepo kukimbia, mchakamchaka, kutembea na kucheza ngoma au mpira kwa lengo la kupunguza Magonjwa…