Category: MCHANGANYIKO
Ole Leikata: Mil 700 za Rais Samia zamaliza ujenzi wa daraja korofi la Kiseru wilayani Kiteto
Na Mathias Canal, Kiteto-Manyara Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara na wilaya za Mvomero na Gairo Mkoa wa Morogoro, Kongwa na Kibagwa mkoani Dodoma limepatiwa ufumbuzi wa kudumu na serikali baada ya ujenzi kukamilika. Daraja hilo…
Serikali kuendelea kuwajengea uwezo wataalam wake
Na WMJJWM- Mwanza Serikali imeahidi kuendelea kuwajengea uwezo wataalam wake ili waweze kuzingatia uwiano wa kijinsia na ujumuishi jamii katika huduma za ustawi wa jamii. Hayo yamesemwa na Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Tullo Masanja, wakati akifunga mafunzo ya…
Kata ya Matimila yaipongeza Serikali uboreshaji miradi ikiwemo ujenzi wa kituo cha afya Songea
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea WANANCHI wa Kata ya Matimila wilayani Songea mkoani Ruvuma wameipongeza Serikali kwa kuwaboreshea miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ya ujenzi wa zahanati na kituo cha afya cha kata hiyo ambacho kimewarahisishia kupata matibabu karibu tofauti…
Silaa: Kuweni tayari kwa mabadiliko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amewataka watumishi wa sekta ya ardhi nchini kuwa tayari kwa mabadiliko yenye lengo la kuiboresha sekta ya ardhi. Silaa amesema hayo leo tarehe 21 Septemba…
Rais Samia: Serikali imetenga hekta 60,000 kwa kilimo cha umwagiliaji mpunga Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Serikali imetenga eneo la ukubwa wa hekta 60,000 kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji wa zao la mpunga katika wilaya ya Rufiji mkoani Pwani. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan…