JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu (3)

Katika ya pili ya makala haya nilieleza kuwa unaweza kuibuka uvivu wa kufikiri na baadhi ya watu wakahoji juu ya gharama za kuendesha serikali yenye ukubwa niliopendekeza. Kwa hiyo mimi napendekezo iwepo Serikali ya Tanganyika, ya Mapinduzi ya Zanzibar na ya Muungano.

Mgodi wanunuliwa kwa Sh mil. 90 wauzwa Sh bil. 4.5

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza ningependa kuchangia hoja ya ubinafsishaji. Kama kuna eneo ambalo nchi hii imeuzwa, kama kuna mchakato ulifanywa wa kuuza taifa hili basi ni mchakato wa ubinafsishaji.

Gari latengenezwa kwa Sh mil. 11, lauzwa kwa Sh mil. 1

Kwanza nimpongeze CAG pamoja na watu wa ofisi yake. Niwapongeze wenyeviti wote watatu kwa taarifa nzuri walizotusomea leo asubuhi.
Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi naona suala hili ni kubwa na ni zito. Nadhani ni zito hata zaidi ya kupitisha bajeti. Kwa sababu bajeti tunapopitisha, ni fedha ambazo tunakisia tunadhani kwamba zitakusanywa. Hizi tunazozizungumzia leo ni fedha zimekusanywa zikaliwa – zimeliwa kwa njia nyingi.

Tusicheze danadana dakika za majeruhi itatugharimu

NA BARUA YA S.L.P.
Mzee Zuzu,
C/O Duka la Kijiji Kipatimo,
S.L.P. Private,
Maneromango.

Mtanzania Mwenzangu,
Yahoo.com/hotmail.com/excite.com/www.http,
Tanzania Yetu.

Yah:  Tusicheze danadana dakika za majeruhi itatugharimu

Rais Kikwete anaihujumu CCM!

Kuna siku nilikuwa eneo moja la katikati ya Victoria na Makumbusho jijini Dar es Salaam, tukijadili mambo mbalimbali likiwamo la matokeo ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki. Hapo kuna mtu aliibua hoja ya hali aliyonayo Rais Jakaya Kikwete kwa sasa.

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu –2

[caption id="attachment_2" align="alignleft" width="158"]BalileDeodatus Balile[/caption]Wiki iliyopita nilihitimisha makala yangu kwa kukueleza jambo muhimu mpendwa msomaji. Hitimisho langu lililenga katika kukujuza japo kwa ufupi Jaji Warioba ni nani.