JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wosia wangu kwa Komredi Kaghasheki

Makomredi Khamis Kagasheki na Lazaro Nyalandu; Salaam. Mlipoteuliwa kuiongoza Wizara ya Maliasili na Utalii wapo waliowapongeza. Mimi nilisita kuwapongeza.

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu – 4

Mada hii inazidi kunoga. Inanoga kwa maana kwamba kila ninapojiandaa kuandika sehemu inayofuata linajitokeza jambo linalonisukuma kuanza nalo. Wiki hii si jingine bali ni jinsi Bunge lilivyojidhihirisha kuwa na nguvu ya pekee.

Taifa Queens kama Stars?

Pamoja na kuwa na kocha mahiri nchini, Kapteni Mary Protas, timu ya taifa ya netiboli Tanzania (Taifa Queens) huenda ikawa kapu la magoli wakati wa Michuano ya Kombe la Afrika itakayotimua vumbi kwa siku tano kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa jijini Dar es Salaam, kuanzia leo.

Wenye CCM nao wameichoka!

Uchaguzi unaoendelea katika ngazi mbalimbali ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), unapaswa kuwa funzo maridhawa kwa makada, viongozi na wafuasi wa chama hicho kikongwe.

Yanga kuikata maini Simba?

Hatimaye kindumbwendumbwe cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kinafikia tamati Jumamosi wiki hii, kwa timu zote 14 zinazoshiriki michuano hiyo kuwa dimbani kwenye viwanja tofauti.

Ufuska kwa Marekani, uozo wa TBS kipi ni hatari zaidi?

Makachero wawili wa Serikali ya Marekani wamejiuzulu kwa kuwajibika, baada ya kukumbwa na kashfa ya kufanya ufuska nchini Colombia.