JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Hujatokwa machozi? Zuru wodi 22

Mapema mwezi huu nimejikuta nikiingia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Hii si mara yangu ya kwanza kufika katika hospitali hii kubwa kuliko zote nchini mwetu.

INAKUWAJE MNAMPA “SHETANI” UMAARUFU? (2)

Wiki iliyopita nilieza kwa sehemu namna wachambuzi na wahubiri wengi wanavyoeleza habari za shetani (Freemason, Illuminat, n.k) katika mitazamo hasi kiasi ambacho hofu imetanda miongoni mwa jamii. Ilivyo sasa ni kuwa watu wengi wamebaki njia panda, hawajui cha kufanya baada ya kugundua kuwa kila wanachokigusa ama kinachowazunguka kimebandikwa hatimiliki ya Freemason ama jumuiya nyingine za waabudu shetani.

Kwa nini watu wanashitakiwa kabla upelelezi haujakamilika?

Moja ya mambo yanayosababisha mrundikano mkubwa wa mahabusu magerezani, ni tatizo la watu kushitakiwa mahakamani halafu wanakosa dhamana au kushindwa kutimiza masharti magumu.

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu (5)

Taifa letu Tanzania lipo katika mchakato wa kuandika Katiba mpya. Mchakato huu umekwishafikia hatua nzuri. Tayari Tume imepata wajumbe 32 wakiongozwa na Jaji Joseph Warioba. Tume hii imesheheni watu muhimu na jamii inaiamini kweli. Mimi ni mmoja wa watu wanaoiamini. Jaji Warioba naamini anaifahamu vyema Katiba yetu na pia Katiba za mataifa mengine.

Olimpiki ina kila aina ya fursa kwa Wabongo

Moja ya mashindano yanayojumuisha watu wengi duniani yamekaribia, tena yanafanyika hapa hapa London.

‘Nyundo’ ya mafisadi ilipotua Mwibara!

Hii ni hotuba iliyotolewa na Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), kwa wananchi waliompokea Mei 3, 2012 katika eneo la Kibara kwa ajili ya kumpongeza kwa ushujaa wake wa kuwashupalia mafisadi.