JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Adui wa Waislamu ni utamaduni wa Kiarabu wa Ghuba

*Ukristo ama Uislamu na serikali si tatizo katu
Naomba nichangie hapa kama Mtanzania -na si kama Mwislamu au Mkristo au mpagani. Mosi, ni kweli kwamba kitabu cha yule padri Mzungu, Dkt. John Sivalon kinaleta shida sana mawazoni mwa watu. Lakini turejee kwenye ukweli wa kisomi, kwamba huwezi kuhitimisha jambo zito kwa kutumia chanzo kimoja.

Yah: Uzalendo uliondoka kama Ujamaa na Kujitegemea?

Wanangu, leo nimeamka nikiwa na siha njema kabisa na kufurahi kwamba sasa mmeanza kuyaona yale ambayo labda sisi watu tunaoonekana wazee, mnaweza kuyaangalia kwa kina na kuyatafutia ufumbuzi wa kina ili tuondoke hapa tulipo twende huko kulikokuwa kunatarajiwa na wengi.

Yai Sh. 900 hata mwendawazimu hakubali

Miongoni mwa mambo niliyoshindwa kuyaamini wakati wa vikao vya Kamati za Bunge vilivyofanyika Dar es Salaam wiki iliyopita, ni matumizi ya fedha za umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma kuhusu bei ya mayai.

Waziri Mukangara, Katibu Kamuhanda sema ukweli wote

Wiki iliyopita wahariri wa vyombo vyote vya habari nchini walikutana mjini Morogoro kujadili mustakabali wa tasnia ya habari nchini. Mkutano huo ulipaswa kufunguliwa rasmi na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara.  Waziri alikuwa na taarifa zaidi ya miezi miwili. Jumamosi ya wiki iliyopita ndipo akatuma ujumbe mfupi wa simu kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga, akimweleza kuwa asingeweza kufika.

Jaji Warioba tunatarajia urejeshe Tanganyika yetu – 7

Wiki iliyopita nilichambua kwa kina kifungu cha 32 hadi 46A cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu ya madaraka ya Rais. Sitarejea niliyoyaandika lakini nashukuru kwa mrejesho mzuri wenye mshindo nilioupata. Wakati toleo hilo linatoka nilikuwa Lushoto mkoani Tanga, kwenye mafunzo yanayohusiana na masuala ya Katiba yaliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).

Drogba kamaliza enzi zake Ulaya kwa mafanikio, heshima kubwa

Wiki moja iliyopita, mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast, Didier Drogba, aliwaaga wachezaji wenzake wa Chelsea baada ya kuitumikia timu hiyo kwa miaka minane akitokea Marseille mwaka 2004.