JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Nani anasajili wachezaji kati ya kocha na viongozi?

Siku moja tu baada ya Arsenal kufungua pazia la Ligi Kuu ya England msimu huu kwa kwenda suluhu, kiungo mpya wa timu hiyo, Santi Carzola alimuomba kocha wake, Arsene Wenger kuingia sokoni ili kusaka wachezaji wa kuziba mapengo yaliyoachwa wazi na beki Alexander Song na mshambuliaji Robin Van Persie.

Ukabila dhidi ya Profesa Maji Marefu ni upuuzi

Wiki iliyopita, Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, alishuhudia namna Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani (Profesa Maji Marefu), anavyopigwa vita ya kikabila na baadhi ya viongozi na watendaji wa serikali jimboni humo.

Kimwili CCM, rohoni ni Upinzani

Nimemsikia Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, akisema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hakina hazina ya viongozi kama iliyonayo Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Tuwape moyo viongozi wachapakazi

Mhariri,

 

Wakati umefika kwa Watanzania kuzungumza na kupongeza viongozi wachapakazi wachache tulionao nchini. Hii tabia itafanya viongozi wengine wengi wawaige viongozi wachapakazi.

Nasema hivi kwa sababu mara nyingi Watanzania wamekuwa na tabia ya kulaumu bila kuchambua viongozi wale wanaofanya kazi kwa uadilifu. Siandikii mate ilhali wino upo.

Wachezaji wa kigeni wanazididimiza Tanzania, England soka la kimataifa

 

Tangu ilipofuzu kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zilizofanyika nchini Nigeria mwaka 1980, ikatolewa mapema ikiwa kundi moja na wenyeji, Misri na Ivory Coast, timu ya soka ya taifa ya Tanzania hadi sasa haijaweza kuifikia tena hatua hiyo na hakuna matumaini yoyote kama itafanya hivyo tena.

CWT: Mkombozi au mnyonya walimu?

*Nusu ya mapato yake yanatumika makao makuu

*Walimu wanaendelea kukamuliwa asilimia mbili

 

Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa, katika Mkutano wa Bunge uliomalizika hivi karibuni alichangia Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na kuhoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yanayofanywa Makao Makuu ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT). Ifuatayo ni sehemu ya hotuba ya mbunge huyo.