JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Migogoro ya ardhi ni janga

Mhariri,

 

Kila siku migogoro ya ardhi inaripotiwa katika nchi yetu. Kuanzia Dar es Salaam hadi mikoani ni migogoro tu.

Mabaraza ya Kata yamesahaulika

Mhariri

 

Mabaraza ya Kata yameanzishwa kwa mujibu wa Sheria Na. 7/85 lakini halmashauri zinazosimamia mabaraza haya zimeyatelekeza kabisa. Mimi ni Katibu wa Baraza la Kata Kwashemshi. Tangu tuteuliwe mwaka jana hakuna mafunzo yoyote yaliofanyika, kitendo ambacho ni hatari sana. Mabaraza haya yamepunguza sana mlundikano wa kesi katika Mahakama za Mwanzo na Baraza la Ardhi na Nyumba Wilaya. Napenda niishauri Serikali yangu kwamba elimu kwa wajumbe hawa ni muhimu sana, kwani ni sehemu nyingi wajumbe wanalalamika kwamba wametelekezwa. Tatizo hili halipo kwa Baraza la Kata Kwashemshi tu bali mabaraza mengi nchini malalamiko ni haya haya.

Waziri Kagasheki atazame kasoro hii

Mhariri   Kwanza tunampongeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki kwa jitihada anazozifanya za kusafisha Wizara ya Maliasili na Utalii na Taasisi zake kwa jumla kwa kuondoa uozo uliokuwamo ndani kwa kipindi kirefu.   Wakati jitihanda hizo zikifanyika,…

Mkurugenzi mzee king’ang’anizi Morogoro

*Mbunge Shabiby alia naye, alalamikia ukabila

 

Kwenye Mkutano wa Nane wa Bunge uliomalizika hivi karibuni, Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby, alizungumzia kero ya maji jimboni kwake na mkoani Morogoro kwa jumla. Alishangazwa na Mkurugenzi wa MORUWASA kuendelea kuajiriwa licha ya kuzeeka, na pia alihoji ukabila ndani ya mamlaka hiyo. Endelea

MCT wameonyesha njia, wanahabari tubadili nchi

Wiki mbili zilizopita nilipata fursa ya kwenda katika mikoa ya Tabora na Kigoma, kwa ajili ya kufundisha waandishi wa habari Azimio la Dar es Salaam juu ya Uhuru wa Uhariri na Uwajibikaji.

Uhuru wa habari na magazeti kwa wote – 2

Wana-JAMHURI, wiki iliyopita mtakumbuka kwamba nilieleza umuhimu wa vyombo vya habari na haja ya kulinda uhuru wake adimu. Nikagusia kiasi jinsi magazeti yanavyofungiwa, kutishiwa au kupewa adhabu nyingine.