JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mrina Annex: Kivuli cha wakware Arusha

Si mara yangu ya kwanza kufika Arusha, lakini hii ni safari yangu ya kwanza kuzuru Arusha ikiwa “imepachikwa” hadhi ya kuitwa jiji. Kwangu mimi, Arusha ni “zizi.” Kama wingi wa watu ndiyo kigezo pekee cha mji kupandishwa hadhi na kuitwa jiji, basi watawala wetu watakuwa wanakosea.

Yah: Kama ningekuwa waziri wa dawa na matibabu…

Wanangu, poleni na kazi na hongera sana kwa kuvuka mwaka 2012. Nasikia mnapeana “Happy New Year” kila ninakopita na mnashangilia kwa nguvu, sina hakika mnashangilia kwa sababu zipi, lakini nafikiri kuumaliza mwaka siku hizi ni kazi ya ziada kutokana na maradhi na misukosuko mingi ya maisha.

Mwaka 2013 uboreshe michezo Tanzania

Tangu mwaka 1974 wakati Filbert Bayi alipoweka rekodi mpya ya mita 1,500 duniani, Tanzania haijapata mafanikio mengine makubwa kiasi hicho katika riadha na hata michezo mingineyo.

Nawaunga mkono wananchi wa Mtwara

 

Niliposikia kwamba wananchi wa Mtwara wameandaa maandamano kupinga usafirishaji gesi kutoka mkoani humo kwenda Dar es Salaam, sikuamini. Kutoamini kwangu kulitokana na dhana iliyojengeka kwa miaka mingi kwamba wakazi wa mikoa ya kusini si “wakorofi” kama walivyo ndugu zao wa mikoa kama Mara, Kilimanjaro au Arusha.

Hali ya hewa inatupelekesha sasa

Kuna kuendelea, lakini katika majanga ya asili ni nguvu kidogo sana mwanadamu anaweza kumzuia anayeyaleta.

Ujue uhalifu ulioiandama Tanzania 2012

Mwaka 2012 utakumbukwa pamoja na mambo mengine nchini, kwa matishio kadhaa yakiwamo ya uharamia baharini, wahamiaji haramu, biashara haramu ya usafirishaji binadamu, ajali za barabarani, biashara ya dawa za kulevya, uingizwaji wa silaha haramu, bidhaa bandia, uhalifu dhidi ya mazingira na maliasili.