JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

FASIHI FASAHA

Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)

Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.

FIKRA YA HEKIMA

Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?

Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.

EU itaisumbua sana Uingereza hii

Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.

Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia

Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.

MAONI YA KATIBA MPYA YA TANZANIA

Chadema: Tunataka Serikali tatu – 3

Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya pili ya maoni ya Chadema waliyowasilisha kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Leo tunakuletea sehemu ya tatu ya na ya mwisho ya maoni yao. Endelea…

RATIBA YA AFCON 2013

Jumanne 22 Januari 2013:

Ivory Coast vs Togo        11:00 jioni

Tunisia vs Algeria              2:00 usiku