Category: MCHANGANYIKO
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
EU itaisumbua sana Uingereza hii
Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.
Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia
Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.
MAONI YA KATIBA MPYA YA TANZANIA
Chadema: Tunataka Serikali tatu – 3
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya pili ya maoni ya Chadema waliyowasilisha kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Leo tunakuletea sehemu ya tatu ya na ya mwisho ya maoni yao. Endelea…
RATIBA YA AFCON 2013
Jumanne 22 Januari 2013:
Ivory Coast vs Togo 11:00 jioni
Tunisia vs Algeria 2:00 usiku
Habari mpya
- Ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam waileta kampuni ya ‘Volkswagen’ nchini
- Wanawake wajasiriamali Dar wafurahia elimu ya bure CBE
- Viongozi wapya wa Chuo Kikuu cha Umoja wa Afrika Tanzania wasimikwa
- Mataifa 22 yashiriki maonesho ya mafuta na gesi
- Upigaji, Wachina wajikusanyia marundo ya fedha
- Miaka mitatu ya Rais Dk Samia madarakani ongezeko la makusanyo madini yapaa
- Tume ya Madini yaendelea kupata mafanikio makubwa, ukusanyaji maduhuli kufikia asilimia 100
- Tanzania, Belarus kuimarisha ushirikiano sekta ya madini
- TMA yakamilisha uboreshaji wa rada mbili za hali ya hewa
- TAWIRI yahimiza tafiti za mabadiliko tabia ya nchi kwa wanyamapori
- Mtoto wa Museveni asema hakuna raia atakayekuwa rais wa Uganda
- Serikali itaendelea kushirikisha wawekezaji uendelezaji nishati jadidifu – Dk Mataragio
- Serikali mbioni kutatua kero ya msongamano wa magari barabara ya Dar – Kilwa
- Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
- Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
Copyright 2024