Category: MCHANGANYIKO
FIKRA YA HEKIMA
Wengine waige Vodacom kuwajali wafanyakazi
Kampuni ya Vodacom Tanzania ni mfano mzuri wa kuigwa, katika uwasilishaji wa makato ya fedha za wafanyakazi wake kwenye Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Bunge linataka kumpoka Mungu madaraka
Kwa masikitiko makubwa, nimepokea taarifa ya Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilila ya Februari 13, 2013 kuwa Bunge linakusudia kuzuia urushaji wa matangazo ya moja kwa moja (live) ya redio na televisheni kutoka bungeni. Dk. Kashilila amesema ni kosa pia kuwapiga picha wabunge wakiwa wamesinzia bungeni.
Ushirikina washika kasi Mbeya
Wimbi la ushirikina limezidi kushika kasi mkoani Mbeya kutokana na kuripotiwa kwa matukio mbalimbali yanayoashiria vitendo hivyo ikiwemo ya uchomaji moto nyumba za watu na wengine kuzikwa wakiwa hai.
RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA
Jumatano Februari 13, 2013 Kagera Sugar Vs Coastal Union Toto Africans Vs Polisi Moro Mgambo JKT Vs JKT Oljoro Mtibwa Sugar Vs Ruvu Shooting African Lyon Vs Yanga SC
Liverpool yamhitahi Manuel Iturra
Baada ya kuongeza Philippe Coutinho mwezi uliopita, Meneja wa Klabu ya Liverpool, Brendan Rodgers, sasa anahitaji kuongeza kiungo mwingine, Manuel Iturra, kwenye kikosi chake. Klabu ya Malaga ilisaini na kiungo huyo msimu uliopita lakini mkataba huo ulifutwa mwishoni mwa…
Tanzania imejifunza nini AFCON 2013?
Mashindano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), yamehitimishwa Jumapili iliyopita huku Tanzania ikiwa mtazamaji na msikilizaji tu.