JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Barcelona, Milan hapatoshi

Hatimaye timu maarufu ya Barcelona, leo inashuka dimbani kupepetana na timu ngumu ya nchini Italia – AC Milan, katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA).

Yah: Kwanini mtu achukiwe kiuongozi?

Nakumbuka mwaka 1995 niliingia katika kinyang’anyiro cha ubunge, lakini katu sitataja jimbo husika kwa sababu za kiusalama, na nimeamua kugombea tena mwaka 2015 insha’allah Mwenyezi Mungu akinipa uhai na afya njema.

Kuukataa unafiki kumemponza Kibanda

Absalom Kibanda, mmoja wa wanahabari mahiri katika Taifa letu, mara zote amekuwa hasiti kunitaja kama “mwalimu” wake.

FASIHI FASAHA

Je, wanahabari hawajui wanajua?

Katika jamii ya kibinadamu, yako makundi manne ya watu yanayotofautiana katika kuishi na kufanya kazi. Asili ya tofauti yao ni upeo na uwezo wa kufikiri, kutamka na kutenda mambo kupambana na mazingira waliomo.

FIKRA YA HEKIMA

Ee Mungu, tuepushie mauaji, mateso haya

Ee Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na ardhi, na vitu vyote vilivyomo, tuepushie janga hili la mauaji na mateso ya kikatili dhidi ya Watanzania.

Waandishi Tanzania, Kenyatta na ukabila

Mpendwa msomaji, Watanzania sasa tunawindana kama digidigi, tunang’oana meno na tunatoboana macho. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Absalom Kibanda, ametekwa na kutendewa unyama huu.