JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waraka wa wanafunzi elimu ya juu nchini (1)

Ufuatao ni waraka wa wanafunzi wa elimu ya juu nchini kwa Serikali, kuhusu migomo na maandamano ya mara kwa mara hapa nchini. Umeandikwa na jopo la viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu na wameupeleka serikalini. Wanatoa ushauri maridhawa wa namna ya kukomesha migomo kwa kuboresha sekta ya elimu, hasa kwa kuwapa fursa wanafunzi wote bila ubaguzi. Waraka huu ni mrefu na JAMHURI itauchapisha wote kuanzia leo. Endelea…

Kifo cha CCM ki wazi, suala ni lini kitatokea

Mengi yameandikwa juu ya ushindi wa Joshua Nassari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Jimbo la Arumeru Mashariki. Naomba wasomaji waniruhusu nami niweze kusema japo kwa ufupi mtazamo wangu juu ya ushindi wa kijana huyo.

Ubingwa mikononi mwa Simba, Yanga, Azam

*Boko naye asogelewa na ‘Kiatu cha Dhahabu’

Wakati Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ikiwa imeingia katika raundi ya 22, mwelekeo wa ubingwa hivi sasa umebaki mikononi mwa timu tatu za Simba, Azam na Yanga, zote za Dar es Salaam.

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu

Rais Jakaya Kikwete mwishoni mwa wiki wakati akitoa tuzo za wanahabari bora nchini, ameviomba vyombo vya habari kuhakikisha vinatumia vyema uhuru wa habari katika mchakato wa Katiba mpya, aliotangaza rasmi kuwa utaanza hivi karibuni.

Tanzania na safari ya kisayansi

Katikati ya Machi mwaka huu, nilikuwa nikisikiliza kipindi cha Sayansi na Ubunifu kupitia redio moja inayorusha matangazo yake kutoka Dar es Salaam.

Sasa tusichezee tena madaktari

Ulimwengu wa mtandao ni kitu kizuri sana. Watu wanawasiliana kwa masafa marefu katika muda mfupi kabisa. Wazungu walikuwa wanasema nasi tukawa tunashangaa, lakini nasi tunaitikia leo kiukweli kweli, kwamba dunia imekuwa kijiji.