JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Hotuba ya mwisho ya Papa Francis siku ya Pasaka 2025

Siku ya Pasaka, tarehe 20 Aprili 2025, ulimwengu ulisikiliza kwa makini hotuba ya mwisho ya Papa Francis, iliyojulikana kama “Urbi et Orbi” (kwa mji na kwa dunia). Ingawa afya yake ilikuwa dhaifu kutokana na kuugua nimonia, Papa Francis aliweza kuwabariki…

Wasira kunguruma siku tano Dodoma

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, kesho ataanza ziara ya kikazi mkoani Dodoma kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kuimarisha chama. Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Katibu wa CCM Mkoa wa Dodoma …

Dorothy kupambana na Rais Samia

Baada ya kutangaza nia ya kugombea Urais, hatimaye Dorothy Semu amechukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Mipango na Uchaguzi Taifa Ndugu, Shaweji Mketo katika Ofisi za Makao Makuu ya…

RC Chalamila atoa onyo kwa wanasiasa wanaofanya mikutano Kariakoo

Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche na wafuasi wake kukamatwa na Jeshi la Polisi maeneo ya Kariakoo wakifanya mkutano wa hadhara, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Saalam, Albert Chalamila, amesema kuwa anaunga…

Wataalam kutoka ofisi za Umoja wa Afrika watembelea TMA

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka Ofisi za Umoja wa Afrika (AUC) wanaoratibu utekelezaji wa mradi wa kuboresha huduma za hali ya hewa wa “Intra-ACP Climate Services and related Applications Programme (ClimSA)”. Ziara hiyo…

Maadhimisho ya Muungano 2025 kufanyika Kimikoa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka huu yatafanyika Kimikoa ambapo kilele chake kitakuwa Aprili 26, 2025. Amesema tangu…