JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Olimpiki ina kila aina ya fursa kwa Wabongo

Moja ya mashindano yanayojumuisha watu wengi duniani yamekaribia, tena yanafanyika hapa hapa London.

‘Nyundo’ ya mafisadi ilipotua Mwibara!

Hii ni hotuba iliyotolewa na Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), kwa wananchi waliompokea Mei 3, 2012 katika eneo la Kibara kwa ajili ya kumpongeza kwa ushujaa wake wa kuwashupalia mafisadi.

Wosia wangu kwa Komredi Kaghasheki

Makomredi Khamis Kagasheki na Lazaro Nyalandu; Salaam. Mlipoteuliwa kuiongoza Wizara ya Maliasili na Utalii wapo waliowapongeza. Mimi nilisita kuwapongeza.

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu – 4

Mada hii inazidi kunoga. Inanoga kwa maana kwamba kila ninapojiandaa kuandika sehemu inayofuata linajitokeza jambo linalonisukuma kuanza nalo. Wiki hii si jingine bali ni jinsi Bunge lilivyojidhihirisha kuwa na nguvu ya pekee.

Taifa Queens kama Stars?

Pamoja na kuwa na kocha mahiri nchini, Kapteni Mary Protas, timu ya taifa ya netiboli Tanzania (Taifa Queens) huenda ikawa kapu la magoli wakati wa Michuano ya Kombe la Afrika itakayotimua vumbi kwa siku tano kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa jijini Dar es Salaam, kuanzia leo.

Wenye CCM nao wameichoka!

Uchaguzi unaoendelea katika ngazi mbalimbali ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), unapaswa kuwa funzo maridhawa kwa makada, viongozi na wafuasi wa chama hicho kikongwe.