JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yanga kuikata maini Simba?

Hatimaye kindumbwendumbwe cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kinafikia tamati Jumamosi wiki hii, kwa timu zote 14 zinazoshiriki michuano hiyo kuwa dimbani kwenye viwanja tofauti.

Ufuska kwa Marekani, uozo wa TBS kipi ni hatari zaidi?

Makachero wawili wa Serikali ya Marekani wamejiuzulu kwa kuwajibika, baada ya kukumbwa na kashfa ya kufanya ufuska nchini Colombia.

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu (3)

Katika ya pili ya makala haya nilieleza kuwa unaweza kuibuka uvivu wa kufikiri na baadhi ya watu wakahoji juu ya gharama za kuendesha serikali yenye ukubwa niliopendekeza. Kwa hiyo mimi napendekezo iwepo Serikali ya Tanganyika, ya Mapinduzi ya Zanzibar na ya Muungano.

Mgodi wanunuliwa kwa Sh mil. 90 wauzwa Sh bil. 4.5

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza ningependa kuchangia hoja ya ubinafsishaji. Kama kuna eneo ambalo nchi hii imeuzwa, kama kuna mchakato ulifanywa wa kuuza taifa hili basi ni mchakato wa ubinafsishaji.

Gari latengenezwa kwa Sh mil. 11, lauzwa kwa Sh mil. 1

Kwanza nimpongeze CAG pamoja na watu wa ofisi yake. Niwapongeze wenyeviti wote watatu kwa taarifa nzuri walizotusomea leo asubuhi.
Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi naona suala hili ni kubwa na ni zito. Nadhani ni zito hata zaidi ya kupitisha bajeti. Kwa sababu bajeti tunapopitisha, ni fedha ambazo tunakisia tunadhani kwamba zitakusanywa. Hizi tunazozizungumzia leo ni fedha zimekusanywa zikaliwa – zimeliwa kwa njia nyingi.

Tusicheze danadana dakika za majeruhi itatugharimu

NA BARUA YA S.L.P.
Mzee Zuzu,
C/O Duka la Kijiji Kipatimo,
S.L.P. Private,
Maneromango.

Mtanzania Mwenzangu,
Yahoo.com/hotmail.com/excite.com/www.http,
Tanzania Yetu.

Yah:  Tusicheze danadana dakika za majeruhi itatugharimu