JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Madaraka Nyerere azungumza

Juzi, tarehe 14 Oktoba 2012, tumetimiza miaka 13 tangu kufariki Mwalimu Julius Nyerere, kiongozi wa kwanza wa Tanganyika huru, na baadaye Tanzania.

Wasindikizaji Ligi Kuu Bara wajulikana

 

Wakati Simba Sports Club ikiendelea kuongoza Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara hadi mwishoni mwa wiki, timu za Toto African, Ruvu Shooting, Polisi Morogoro na Mgambo Shooting bado zinashindana mkiani zikionesha dalili za kuwa wasindikizaji msimu huu.

Akrama anavyoshutumiwa mechi ya Simba, Yanga

Jumatano iliyopita timu za Simba na Yanga zilishindwa kuoneshana ubabe, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kabla ya mchuano huo, Simba ilikuwa ikipewa nafasi kubwa ya kushinda hasa kwa vile iliingia uwanjani ikiwa imeshinda michezo yote minne ya awali, huku Yanga ikiwa imeshinda miwili na kufungwa mbili pia.

Tunacheza Ziwa Nyasa linaondoka!

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mkutano wa SADC nchini Msumbiji, alimhakikishia Rais Joyce Banda wa Malawi kuwa kamwe Tanzania haitaingia vitani dhidi ya ndugu zao, Malawi.

Yah: Cheusi ndicho cha hela, kekundu na kekundu utaliwa

Wanangu, naanza kwa kusema nawapenda sana na siku zote nitakuwa pamoja nanyi katika maombi, ili mpate kuwa na siku nyingi za kuishi kama mimi nilivyobarikiwa  kutimiza miongo mingi kidogo. Nimefika miongo hiyo kutokana na kuwaheshimu wazazi wangu ambao ni miungu wangu hapa duniani.

Asante RC Mwambungu, Inspekta Anna

Septemba 28 ni siku ya pekee maishani mwangu. Ilikuwa ni siku mbili tu tangu niliposafiri na kufika Songea mkoani Ruvuma. Nilipanga katika hoteli iliyopo katikati ya mji iitwayo Safari Lodge.