JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

‘Nauza dawa ya kukuwezesha kufaulu mitihani’

Ukisoma mabango haya niliyokuwekea kwenye ukurasa huu leo, hutapata shida kutambua kuwa matatizo mengi ya Watanzania, si tu kwamba yanasababishwa na wanasiasa.

Yah: Azimio la Arusha na ajira muhimu

Wanangu, leo ni Jumanne nyingine ambayo kwa uhakika imenifanya nikumbuke mambo mengi sana. Mojawapo ni yale maneno yaliyozungumzwa na Mwenyekiti wa TANU pale Mwanza Oktoba 17, 1967. Alizungumzia utekelezaji wa Azimio la Arusha.

Vituo vya mafuta vinaiba kodi mchana kweupe

Mzee Ali Hassan Mwinyi alipata kusema maneno haya: “ Tanzania ni sawa na kichwa cha mwendawazimu.” Maneno haya aliyasema kwa maana kwamba kichwa cha mwendawazimu kila anayejifunza kunyoa hufanyia hapo mazoezi. Wiki iliyopita nilikuwa Nairobi , Kenya ambako nilikuwa na mafunzo ya wiki zaidi ya mbili. Nikiwa huko kwa mshangao nikakuta Tanzania inamwagiwa sifa.

Bomu la Lowassa: Tumeligundua, tunaliteguaje?

Tumeshaelewa hoja ya Edward Lowassa, nadhani sasa ni wakati wa kuelekeza juhudi zetu katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu.

JK kikwazo CCM

*Yabainika ndiye mwasisi wa makundi CCM

*Akemea dhambi iliyomwingiza madarakani

 

Staili ya uongozi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete, inatajwa kwamba haitakuwa na msaada mkubwa wa kuiwezesha Sekretarieti mpya kutekeleza ahadi na maazimio ya Mkutano Mkuu wa Nane uliomalizika mjini Dodoma hivi karibuni.

Yaliyotikisa Mkutano wa Tisa wa Bunge

Mkutano wa tisa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulihitimishwa Novemba 9, mwaka huu, mjini Dodoma, ukiwa umetikiswa zaidi na hoja binafsi za wabunge; Kabwe Zitto, Halima Mdee na hukumu ya Spika wa Bunge, Anne Makinda.