JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mauaji yanauchafua mkoa wa Mara

Mauji ya raia wasiokuwa na hatia yanaendelea mkoani Mara. Kwa miaka mingi Wilaya ya Tarime ndiyo iliyosifika kwa vitendo hivyo.

Sarafu moja Afrika Mashariki ni mtego – 2

Wiki iliyopita niliandika juu ya hatari ya kuanzishwa kwa sarafu moja katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kabla ya kukamilisha matakwa ya msingi yenye kujenga mfumo wa kuwezesha sarafu moja kufanya kazi kwa ufanisi. Nilieleza mambo mengi yanayohitaji kufanyika kabla ya kufikia uamuzi wa kuanzisha sarafu moja au la.

Yah: Kama ningekuwa waziri wa wawekezaji na ajira

Wanangu, nianze kwa kuwapa hongera ya Krismasi na kwamba mliofanikiwa kufika katika Sikukuu hii, hamna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwani si wote waliopata bahati hii ambayo ninyi kwa nafasi na upendeleo wa nafsi zenu kwa Mwenyezi Mungu mmefanikiwa.

Msajili Hazina avunja sheria

*Adai kusaidiana na Waziri Mkuu kutoa uamuzi

*Aonesha dharau kwa Bunge, Waziri kufafanua

 

Msajili wa Hazina, Elipina Mlaki, ameendelea kukiuka sheria, maagizo ya Bunge na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa kulazimisha kuhudhuria vikao vya Bodi za Wakurugenzi wa Mashirika ya Umma nchini.

Ronaldo atamng’oa Messi, kuwa bora duniani?

Zikiwa zimebakia wiki tatu kabla ya Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) kutoa tuzo ya Mwanasoka Bora kwa mwaka 2012/2013, mashabiki na wadau mbalimbali wa mchezo huo wanaendelea kubishana kuhusu nani anastahili kutwaa tuzo hiyo kati ya wachezaji mahiri watatu waliofika fainali.

Nashukuru, utabiri kwa Nyalandu unatimia

Tangu mapema kabisa nilishasema kwamba Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ni tatizo. Niliyasema haya wiki kadhaa baada ya kuteuliwa kwake kushika wadhifa huo.Nyalandu alianza matatizo tangu akiwa Wizara ya Viwanda na Biashara. Nadhani Dk. Cyril Chami, anaweza kuwa msaada mzuri katika hili ninalolisema.