JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Nawaunga mkono wananchi wa Mtwara

 

Niliposikia kwamba wananchi wa Mtwara wameandaa maandamano kupinga usafirishaji gesi kutoka mkoani humo kwenda Dar es Salaam, sikuamini. Kutoamini kwangu kulitokana na dhana iliyojengeka kwa miaka mingi kwamba wakazi wa mikoa ya kusini si “wakorofi” kama walivyo ndugu zao wa mikoa kama Mara, Kilimanjaro au Arusha.

Hali ya hewa inatupelekesha sasa

Kuna kuendelea, lakini katika majanga ya asili ni nguvu kidogo sana mwanadamu anaweza kumzuia anayeyaleta.

Ujue uhalifu ulioiandama Tanzania 2012

Mwaka 2012 utakumbukwa pamoja na mambo mengine nchini, kwa matishio kadhaa yakiwamo ya uharamia baharini, wahamiaji haramu, biashara haramu ya usafirishaji binadamu, ajali za barabarani, biashara ya dawa za kulevya, uingizwaji wa silaha haramu, bidhaa bandia, uhalifu dhidi ya mazingira na maliasili.

RATIBA YA LIGI KUU YA UINGEREZA

Jumatano 26, December 2012: 15:00 Arsenal v West Ham Emirates Stadium 15:00 Aston Villa v Tottenham Villa Park 15:00 Everton v Wigan Goodison Park 15:00 Fulham v Southampton Craven Cottage 15:00 Man Utd v Newcastle Old Trafford 15:00 Norwich v…

Bravo Toure, Drogba, Song

Gazeti Jamhuri linaungana na wadau mbalimbali wa mchezo wa mpira wa miguu (soka) barani Afrika kama si duniani kuwapongeza wachezaji viunga mahiri, Yaya Toure, Didier Drogba na Alex Song kwa kutwaa ushindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora barani Afrika.

Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (2)

Kwa akili za kawaida kabisa, mtu unajiuliza kwani huo uislamu au ukabila umejikita katika mkoa wa mjini magharibi tu? Kwani Zanzibar na Pemba ni mkoa huo huo mmoja tu? Mbona kiserikali tunajua iko mikoa mitano Visiwani? Mjini Magharibi, Mkoa wa Kusini Unguja, Mkoa wa Kaskazini Unguja kuna Chakechake kule Pemba na Mkoani kule Kusini Pemba ?