JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kila kukicha aheri ya jana

Heri ya mwaka mpya wa 2013 wana-JAMHURI wenzangu, hongera na poleni kwa machovu yote.

Najua sana wengine ndiyo wanaangalia tena salio kwenye akaunti zao, kwenye waleti na chenji kwenye watoto wa meza nyumbani na ofisini.

Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (5)

Yuko mwandishi mashuhuri wa habari Visiwani Zanzibar, aliyewahi kuwa mwandishi wa habari wa aliyekuwa Waziri Kiongozi, Maalim Seif (huyu mimi kiutani namwita “uncle chocolate”), aliandika makala katika Tanzania Daima, “Benjamin William Mkapa ninayemjua” Jumapili tarehe 13 Machi 2008 uk. 13.

FIKRA YA HEKIMA

Tutarajie nini Mtei ‘anapobaka’ demokrasia Chadema?


Tutarajie nini mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei, anapofikia hatua ya ‘kubaka’ demokrasia ndani ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini?

FASIHI FASAHA

Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti (6)

Katika sehemu ya nne na ya tano ya makala haya, nilieleza maana ya udini kama ilivyoainishwa na baadhi ya viongozi wa dini za Kiislamu na Kikristo.

Ujasiriamali ni ajira kamili

Nilipokuwa muhula wa mwisho kumaliza masomo ya shahada yangu ya kwanza, siku moja niliingia katika mjadala mzito na mama yangu mzazi. Mama alikuwa akishusha pumzi kuona kuwa mwanaye sasa ninaelekea kukamilisha ngwe ya elimu ya juu. Mawazo na kiu yake kubwa ilikuwa ni kuona natafuta ajira mapema, kitu ambacho nilitofautiana naye na hivyo kuzusha malumbano ya kihoja na kimtazamo.

Yah: Kama Ningekuwa waziri wa kodi

Wanangu, hongereni kwa kuvuka mwaka uliopita na kuukaribisha mwaka mpya na mambo yaleyale ya mwaka jana kwa tofauti ya tarehe na mwaka, nawapa kongole kwa sababu baadhi yetu tukiingia mwaka mwingine tunajitengenezea malengo ambayo lazima yatekelezeke.