JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RATIBA YA AFCON 2013

Jumanne 22 Januari 2013:

Ivory Coast vs Togo        11:00 jioni

Tunisia vs Algeria              2:00 usiku

Balotelli wa Man City huyooo AC Milan

Mshambuliaji wa timu ya soka ya Manchester City, Mario Balotelli (22), yupo mbioni kuhamia AC Milan.

Kivumbi tena Ligi Kuu Bara

Baada ya kusimama kwa zaidi ya miezi miwili sasa, kindumbwendumbwe cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinarejea tena Jumamosi wiki hii, huku timu za Yanga na Simba zilizokuwa mazoezini nje ya nchi, zikimulikwa zaidi.

Yah: Jamani napenda kuwa rais wa nchi yangu (2)

Mzee Ben akapewa rungu la kutetea uhai wa chama katika uchaguzi huo na akaibuka kidedea, lakini nguvu ya soko la dunia katika bidhaa ikaanza kupungua kutokana na mizizi yake kukomaa ikawa siyo habari tena ya kuwaelekeza Watanzania ambao awali walijifanya wanalipokea kwa shingo upande, wakoloni waliona mianya ya kutawala vitaifa vidogo kwa kisingizio cha uwekezaji.

ANGA ZA UCHUMI NA BIASHARA

 

Ujasiriamali unahitaji ‘roho ya paka’

Ninafahamu linapokuja suala la matumizi ya Kiswahili katika mambo ya biashara na ujasiriamali, akili zetu zinapwaya. Sio kwa sababu Kiswahili hakina maneno yote ya kibiashara, la hasha! Ni kwa sababu hatujazoea biashara, misamiati haijatukaa sana kama ilivyotukaa ya kisiasa. Moja ya neno nililokopa kama lilivyo ni ‘Risks’; na ndio dhana nitakayoijadili leo.

Tuamke, tatizo la udini ni kubwa!

Makala iliyopita nilijaribu kujadili athari zinazoweza kutupata – tukiwa Taifa – kwa kuruhusu masuala ya kiimani kutawala sehemu zinazotoa huduma kwa jamii nzima. Bila hofu, nilitoa mfano wa Kituo cha Mafuta Victoria, na kituo chake dada kilichopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. Nilisema kwenye vituo hivyo wafanyakazi wanalazimika kuvaa sare zenye maneno ya kumtukuza Yesu.