Category: MCHANGANYIKO
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!
Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali – kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
EU itaisumbua sana Uingereza hii
Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.
Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia
Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.
MAONI YA KATIBA MPYA YA TANZANIA
Chadema: Tunataka Serikali tatu – 3
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya pili ya maoni ya Chadema waliyowasilisha kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Leo tunakuletea sehemu ya tatu ya na ya mwisho ya maoni yao. Endelea…
- Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
- Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
- Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
- Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
- Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Habari mpya
- Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
- Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
- Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
- Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
- Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
- Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
- UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
- Msongozi awashauri wanawake kugombea nafasi za wenyeviti Serikali ya Mtaa
- Waziri Mhagama afurahishwa na MSD inavyookoa maisha ya watoto njiti
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
- TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
- Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
- Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
- Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
- Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao
Copyright 2024