JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mambo muhimu Stars kucheza AFCON

Kocha wa timu ya soka ya taifa (Taifa Stars), Kim Poulsen, amesema kuwa haoni sababu itakayoizuia Tanzania kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2015.

Ligi Kuu Bara isiwe ya Simba, Yanga

Mara nyingi ubingwa wa mashindano ya soka ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, umekuwa ukibebwa na Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya jijini na Dar es Salaam Young Africans (Yanga), yenye makao yake mitaa ya Jangwani na Twiga, kana kwamba timu nyingine hazina wachezaji mahiri wenye uwezo wa kushinda.

Yah: Jamani kama ningelikuwa mbunge

Wanangu mu hali gani, siku zote nawaandikia barua lakini siwaulizi hali zenu, mara zote huwaeleza siha yangu bila kujua siha zenu. Nimeona sitendi haki kwa kuwa kujua hali zenu ni jambo bora zaidi kuliko kuwafikishia ujumbe wangu, maana naweza kuwa nafikisha ujumbe katika uwanja wa makaburi ambako mmelazwa kutokana na ugumu wa maisha.

Kuta za ‘Oysterbay’ hazitazuia hasira za masikini

Sakata la usafirishaji gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam lilipoanza, sikusita kuunga mkono madai ya wana-Mtwara. Kuna kundi la viongozi na wananchi waliothubutu kupotosha ukweli wa madai ya wananchi hao.

FASIHI FASAHA

Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (3)

Katika sehemu ya pili ya makala haya, nilionesha jitihada za Serikali katika kuzuia na kupambana na rushwa nchini, kwa kutunga sheria na kuunda vyombo vya kukabiliana na tatizo hilo.

Misaada hii ya udhalilishaji Afrika no!

Moja ya mambo ambayo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, yatamfanya asisahaulike kwayo, ni kule kujiamini hata kuwakemea wakoloni na rafiki zao.