JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA

Jumatano Februari  13, 2013 Kagera Sugar Vs Coastal Union Toto Africans Vs Polisi Moro Mgambo JKT Vs JKT Oljoro Mtibwa Sugar Vs Ruvu Shooting African Lyon Vs Yanga SC  

Liverpool yamhitahi Manuel Iturra

Baada ya kuongeza Philippe Coutinho mwezi uliopita, Meneja wa Klabu ya Liverpool, Brendan Rodgers, sasa anahitaji kuongeza kiungo mwingine, Manuel Iturra, kwenye kikosi chake.   Klabu ya Malaga ilisaini na kiungo huyo  msimu uliopita lakini mkataba huo ulifutwa mwishoni mwa…

Tanzania imejifunza nini AFCON 2013?

Mashindano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), yamehitimishwa Jumapili iliyopita huku Tanzania ikiwa mtazamaji na msikilizaji tu.

Wao na mashangingi, masikini na sakafu

Rais Paul Kagame wa Rwanda alipotwaa madaraka, miongoni mwa “uamuzi mgumu” wa awali aliouchukua ni kuhakikisha anapunguza matumizi yanayosababishwa na magari ya umma. Akayakusanya kwa wingi. Akayaweka uwanjani. Akapewa orodha ya maofisa na watumishi wanaostahili kukopeshwa magari. Akawaagiza waende uwanjani- kila mmoja achague analotaka. Akahakikisha aliyechagua gari anakopeshwa-linakuwa mali yake. Huduma za mafuta na matengenezo zikaandaliwa utaratibu kwa kila gari na kwa muda maalumu.

fasihi fasaha

Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (4)

Ni miaka 17 sasa tangu Tume ya Kero ya Rushwa ilipotufahamisha mianya na sababu za kuwepo rushwa, wala rushwa na njia za kuitokomeza. Lakini kilio kikubwa cha madhara ya rushwa bado kinasikika kutoka kwa wananchi.

FIKRA YA HEKIMA

Tunahitaji rais dikteta mwenye uzalendo

Jumamosi iliyopita wakati jua likielekea kuchwea, nilihisi faraja kuandaa makala hii kutoa changamoto kwamba nchi yetu sasa inahitaji kuwa na rais dikteta lakini aliye mzalendo. Dikteta ni mtu anayetawala nchi kwa amri zake bila kushauriwa, au anayetaka analosema litekelezwe bila kupingwa, na mzalendo ni mtu anayependa nchi yake kiasi cha kuwa tayari kuifia.