JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

FIKRA YA HEKIMA

Nimeipenda kauli ya Mbowe Mbeya

Kwa mara nyingine, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameendelea kudhihirisha mng’aro wake katika nyaja ya siasa nchini.

Tumechezea elimu, sasa tukumbatie Bima ya Afya

Wiki iliyopita Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na wahariri na waandishi walikutana mjini Mtwara. Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Dk. Emmanuel Humba, na maafisa waandamizi wa mfuko huu wameeleza vyema mafanikio chini ya mfuko huu.

Taifa limefikishwa mahali pabaya

Nguvu na Mamlaka ya Umma ni maneno matano yanayobeba dhana pana ya falsafa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA.  Kwa wale ambao kwa bahati mbaya au hata kwa makusudi ni wavivu wa kufikiri, wazo au hata matumizi ya misuli siyo maana wala lengo la falsafa hiyo.

RATIBA YA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Jumatano Februari 27, 2013 Coastal Union Vs Ruvu Shooting Yanga SC Vs Kagera Sugar Polisi Moro Vs Mgambo JKT JKT Ruvu Vs Totot Africans Mtibwa Sugar Vs TZ Prisons

Malinzi: Tuelekeze nguvu Morocco vs Taifa Stars

Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Kagera, Jamal Malinzi, amewataka Watanzania kuiunga mkono  Taifa Stars iweze kushinda katika mchezo kuwania tiketi ya  kufuzu Kombe la Dunia unaotarajiwa kufanyika Machi 24, mwaka huu.

Yah: Yawezekana maendeleo au tumelogwa?

Siamini kama mtu ambaye anayemwamini Mwenyezi Mungu anaweza kuamua, kwa mkono wake, kukatisha maisha ya mtumishi wa bwana kwa moyo safi na wa kijasiri. Haya naona ni maendeleo mengine ambayo enzi zetu hayakuwako, sielewi kama napaswa kuwapongeza au kuwalaumu kwa maendeleo hayo.