Category: MCHANGANYIKO
FASIHI FASAHA
Je, wanahabari hawajui wanajua?
Katika jamii ya kibinadamu, yako makundi manne ya watu yanayotofautiana katika kuishi na kufanya kazi. Asili ya tofauti yao ni upeo na uwezo wa kufikiri, kutamka na kutenda mambo kupambana na mazingira waliomo.
FIKRA YA HEKIMA
Ee Mungu, tuepushie mauaji, mateso haya
Ee Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na ardhi, na vitu vyote vilivyomo, tuepushie janga hili la mauaji na mateso ya kikatili dhidi ya Watanzania.
Waandishi Tanzania, Kenyatta na ukabila
Mpendwa msomaji, Watanzania sasa tunawindana kama digidigi, tunang’oana meno na tunatoboana macho. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Absalom Kibanda, ametekwa na kutendewa unyama huu.
Chinja chinja ya Polisi yatikisa Geita
*Mfanyabiashara auawa, wampora dhahabu, mamilioni
*Mtoto, mke, majirani waeleza ‘sinema’ yote ilivyokuwa
Lukumani Yunge (13) ambaye ni mtoto wa Yemuga Fugungu (31) aliyeuawa wiki moja iliyopita nyumbani kwake katika Kitongoji cha Masota, Kata ya Uyovu Lunzewe wilayani Bukombe, ameeleza namna polisi walivyomlazimisha awaonesha chumba kinachotumiwa na baba yake kuhifadhia dhahabu.
Leo ni leo Man United vs Real Madrid
Leo ni leo, asemaye kesho ni mwongo. Timu maarufu za soka barani Ulaya, Manchester United na Real Madrid, leo zinatinga uwanjani kumenyena katika kinyang’anyiro cha Mabingwa wa Ulaya (UEFA). Manchester United inatinga katika mtanange huo ikiwa inajivunia mshambuliaji wake, Christiano…
RATIBA YA LIGI YA MABINGWA ULAYA (UEFA) 2013
Jumanne Machi 5, 2013 Man. United vs Real Madrid saa 4:45 usiku Dortmund vs Shakhtar Do. Saa 4:45 usiku Jumatano Machi 6, 2013 Juventus vs Celtin …