JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jumatano ya Bayern Munich vs Arsenal

Mchuano wa Bayern Munich ya Ujerumani na Arsenal ya Uingereza uliofanyika Jumatano ya Machi 13, mwaka huu, umeacha kumbukumbu ya pekee katika tasnia ya soka duniani.

Ras Inno: Nimedhamiria kufufua muziki wa reggae

Dhana kwamba muziki wa reggae umepigwa kumbo hapa Tanzania na kudorora, ikilinganishwa na aina nyingine za muziki, imepingwa na kupatiwa majibu ya kuupenyeza muziki huo kwa mashabiki wake kwa kuurudishia mashiko kama ilivyokuwa zamani.

King Majuto aalikwa Rwanda

Msanii maarufu wa maigizo ya runinga nchini, Amri Athumani (65), maarufu King Majuto amealikwa nchini Rwanda.

Barcelona, Milan hapatoshi

Hatimaye timu maarufu ya Barcelona, leo inashuka dimbani kupepetana na timu ngumu ya nchini Italia – AC Milan, katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA).

Yah: Kwanini mtu achukiwe kiuongozi?

Nakumbuka mwaka 1995 niliingia katika kinyang’anyiro cha ubunge, lakini katu sitataja jimbo husika kwa sababu za kiusalama, na nimeamua kugombea tena mwaka 2015 insha’allah Mwenyezi Mungu akinipa uhai na afya njema.

Kuukataa unafiki kumemponza Kibanda

Absalom Kibanda, mmoja wa wanahabari mahiri katika Taifa letu, mara zote amekuwa hasiti kunitaja kama “mwalimu” wake.