JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

FIKRA YA HEKIMA

Usafiri Dar ni zaidi ya kero

Jiji la Dar es Salaam linakabiliwa na changamoto nyingi, lakini kubwa kuliko zote imejikita katika usafiri wa kutumia magari.

Ushabiki umekifanya kiti cha Spika kipwaye

 

Zipo taarifa kwamba “wakubwa” wanajiandaa kufanya mipango ya kuwaengua wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wasishiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti unaotarajiwa kuanza mwezi ujao.

Yah: Watanzania ndio waajiri wa hao wenye mbwembwe

Wiki jana, niliandika makala niliyojaribu kupendekeza kiongozi tunayemhitaji, na niliahidi kuwa mmoja wa wagombea katika nafasi ya ubunge kama nitajiridhisha kuwa suala la kuchafuana kwa maneno halipo tena.

Jumatano ya Bayern Munich vs Arsenal

Mchuano wa Bayern Munich ya Ujerumani na Arsenal ya Uingereza uliofanyika Jumatano ya Machi 13, mwaka huu, umeacha kumbukumbu ya pekee katika tasnia ya soka duniani.

Ras Inno: Nimedhamiria kufufua muziki wa reggae

Dhana kwamba muziki wa reggae umepigwa kumbo hapa Tanzania na kudorora, ikilinganishwa na aina nyingine za muziki, imepingwa na kupatiwa majibu ya kuupenyeza muziki huo kwa mashabiki wake kwa kuurudishia mashiko kama ilivyokuwa zamani.

King Majuto aalikwa Rwanda

Msanii maarufu wa maigizo ya runinga nchini, Amri Athumani (65), maarufu King Majuto amealikwa nchini Rwanda.