JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yah: Mtakuwa maskini wa kutupwa mkishakufa

Nakumbuka niliwahi kuwaandikia barua ya kuwataka muwe makini na hayo yanayoitwa maendeleo. Baadhi yenu mlionesha kuipinga kwamba hakuna maendeleo yasiyokuja na mabadiliko ya tabia.

Mawalla: Mfanyabiashara aliyewapenda Wazungu kuliko Watanzania wenzake

Mwanasheria na mmoja wa wafanyabiashara Watanzania vijana, Nyaga Mawalla (pichani chini), amefariki dunia. Amefariki dunia akiwa bado kijana mwenye umri mdogo, lakini mwenye mafanikio makubwa kibiashara.

FASIHI FASAHA

Ulimi mzuri mali, mbaya hatari

Sitafuti mashahidi wa haya nitakayosema, kwani kauli nitakayotoa ni yumkini na yanayotokea hapa Tanzania – ya watu kusema na kutenda mambo bila hadhari.

FIKRA YA HEKIMA

Serikali itangaze elimu ya msingi haitolewi bure tena

Elimu ya msingi hapa Tanzania imeendelea kuwagharimu wazazi na walezi fedha nyingi, licha ya Serikali kutangaza kuwa inatolewa bure (bila malipo yoyote).

Cameron na vita ngumu ya pombe

Siasa ni mchezo mchafu, kweli wana JAMHURI sasa naamini. Utata wa siasa hauna cha nchi kubwa wala ndogo, maana nchi kubwa kama Marekani au Uingereza zinaweza kuamua siasa, wakakaribia kugawanyika nusu kwa nusu. Uingereza walipopiga kura mara ya mwisho, walishindwa kuchagua chama kimoja kikae madarakani, kwa sababu wabunge waligawanyika.

Sitta anatuchezesha makidamakida EAC

Wiki iliyopita nilisikia malumbano kati ya Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, na wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania. Wabunge kutoka Tanzania wakiongozwa na Shy-Rose Bhanji wanasema Serikali kupitia wizara hiyo haiwapi mwongozo wa nini wanapaswa kufanya.