JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bila viboko tusahau elimu

Wiki iliyopita nchi hii ilitawaliwa na mjadala wa uamuzi wa Serikali kurejesha viboko shuleni. Mjadala huu najua umegusa mifano mingi. Wachangiaji wengi wamerejea vitabu vya imani mbalimbali, vinavyoeleza jinsi fimbo inavyosaidia kumnyoosha mtoto.

Samaki Ziwa Victoria bye bye

*CAG asema uvuvi huu ukiendelea miaka 15 ijayo litakuwa tupu

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ametoa ripoti ya ukaguzi ya mwaka 2011/2012 na kutoa tahadhari kwamba endapo uvuvi haramu hautadhibitiwa katika Ziwa Victoria, miaka 15 hadi 20 ijayo samaki watakuwa wametoweka katika ziwa hilo kubwa katika Afrika.

Dk. Wande alilia mshikamano Simba

*Ahofu mgogoro wa Simba utaathiri soka nchini

Mwanachama wa siku nyingi wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam, Dk. Mohamed Wande, ametaja mbinu pekee ya kuinusuru klabu hiyo isididimie kisoka kuwa ni mshikamano wa wanachama na wachezaji.

Serikali nayo inapokuwa mlalamishi…

Serikali imesema kasi ya ongezeko la idadi ya watu jijini Dar es Salaam, inatisha. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Dar es Salaam inakadiriwa kuwa na watu milioni 4.3.

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili


“Lugha yetu ya Kiswahili imepata misukosuko mingi kwa kunyanyaswa na kubeuliwa kwa karne nyingi zilizopita. Unyonge wetu ulitokana na kutawaliwa na kudharauliwa uliotufikisha mahali ambapo hata sisi wenyewe tulianza kukinyanyasa na kukibeua Kiswahili.”

FIKRA YA HEKIMA

Rais Kikwete ana uzuri, ubaya wake

 

Siwezi kuamini kwamba Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, ni binadamu asiye na upungufu, la hasha!