JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tumeacha kuheshimu sheria, tumekwisha

Na Deodatus Balile, Johannesburg

 

 

 

Wiki hii nimekuwa hapa jijini Johannesburg. Nimekuja hapa Afrika Kusini kwa nia ya kumuona Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, aliyetekwa, akapigwa, akaumizwa, akatobolewa jicho, akang’olewa meno na kucha. Ametiwa ulemavu wa kudumu. Ni masikitiko makubwa.

Ras Inno kuitambulisha bendi yake

Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, mwanamuziki nguli wa miondoko ya reggae hapa nchini, Ras Inno Nganyagwa, anarudi tena jukwaani kwa kuitambulisha rasmi bendi yake.

Yah: Bomu la elimu duni, ajira, njaa

 

Wiki jana nilikumbuka baadhi ya mabomu mabaya zaidi duniani, ambayo Tanzania pia tunajitahidi kuyatengeneza japokuwa mataifa makubwa yanayotengeneza silaha kali, hayataki kuja kutuchunguza ili tuwekewe vizingiti vya kiuchumi.

Mawaziri wetu wanapalilia udini

Nimepata kuandika katika safu hii, kwamba hali ya udini nchini ni mbaya tofauti na wengi wetu tunavyodhani. Bahati nzuri, wananchi wengi wameshaanza kuiona hatari hii, ambayo si tu inatarajiwa, bali pia imeshaingia katika jamii yetu. Huu ni wakati wa kila mmoja wetu kutumia mbinu halali anayoijua, kushiriki mapambano ya kulinusuru Taifa letu kutoka kwenye hatari hii.

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili -3

Katika makala mbili zilizotangulia, niliandika kuhusu hofu na mashaka walionayo baadhi ya magwiji wa lugha ya Kiswahili, katika matumizi na malezi ya lugha hiyo kutokana na Waswahili kuonesha wazi dalili za kuipa umuhimu lugha ya kigeni katika matumizi.

FIKRA YA HEKIMA

Bunge linapoteza hadhi, tusitarajie bajeti makini

Kuna kila dalili kuwa Mkutano wa Bunge unaoendelea sasa mjini Dodoma, hautapitisha bajeti inayojibu matatizo yanayowakabili wananchi kwa mwaka wa fedha 2013/2014.