Category: MCHANGANYIKO
Mnataka viashiria vya udini? Hivi hapa
Bunge limepitisha “Azimio la Bunge” linaloitaka Serikali ipambane ili kukomesha viashiria vyote vya udini nchini mwetu. Ni Azimio zuri.
FIKRA YA HEKIMA
Polisi, Sumatra wanalea mawakala matapeli stendi ya mabasi Nyegezi Ukifika kituo cha mabasi cha Nyegezi jijini Mwanza, huwezi kupinga malalamiko kuwa rushwa imenunua utendaji wa maofisa wa Jeshi la Polisi na Mamlaka ya Udhibiti wa Vyombo vya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA).
FASIHI FASAHA
Watanzania tunakinyanyasa, tunakibeua Kiswahihi – 6
Katika makala iliyotangulia niliwagusa baadhi ya Waswahili wanaokinyanyasa Kiswahili, wakiwamo wabunge na wanasiasa. Leo nawatupia macho wafanyakazi katika taasisi na asasi mbalimbali ambazo watendaji wake ndiyo wanaokibeua Kiswahili.
Nchimbi, Kagasheki, Sendeka hamjafanikiwa kumtetea Kinana
Wiki iliyopita mjadala mzito uliotawala hapa nchini, ni taarifa au tuhuma zilizoibuliwa na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa. Mchungaji Msigwa amemtuhumu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kuwa anasafirisha pembe za tembo nje ya nchi.
Mtanzania Mwenzangu, Yah: Madai ya Mei Mosi, sisi hatukuwa nayo?
Kuishi miaka mingi ni kuona mengi pia – lakini yanaweza kuwa mema ama machungu kama shubiri, lakini bado ni mambo muhimu katika mapito ya maisha ili kuweza kujifunza kila kitu. Nimejifunza mengi sana hadi leo.
FIKRA YA HEKIMA
Watanzania tujitambue zaidi
Kabla ya kuzungumzia mada tajwa hapo juu, nichukue nafasi hii kuwashukuru wasomaji waliotoa maoni na mitazamo yao mbalimbali, kuhusu makala niliyoyaandika wiki iliyopita, yaliyokuwa na kichwa cha habari “Godbless Lema acha kuwa ndivyo sivyo.”