Category: MCHANGANYIKO
Tamasha la Siku ya Mkerewe kuanza Juni
Shirika la Kuboresha Mienendo na Desturi kwa Ustawi (KUMIDEU) katika Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, linashirikiana na wadau mbalimbali kuandaa tamasha la Siku ya Mkerewe.
Serikali inachekea udini, maadui wanalifahamu
Najua wengi wameandika mada hii. Ni karibu wiki sasa tangu kutokea kwa ugaidi kule Arusha. Wengi wameibuka na mijadala yenye kusisitiza kuwa kilichotokea Arusha ni mwendelezo wa udini. Baadhi wamefika mahali wanasema wazi kuwa Serikali imetunga majina ya watuhumiwa.
Mashabiki wamtimua Mourinho Hispania
Mashabiki na wapenzi wa soka nchini Hispania wanatajwa kuwa sababu kuu inayomfanya Kocha wa Timu ya Real Madrid, Jose Mourinho, kuikimbia timu hiyo kutokana na kukosa uhusiano mzuri na wadau hao.
MISITU & MAZINGIRA
Uharibifu misitu: Janga linaloiangamiza Tanzania (3)
Nini kifanyike ili kuiokoa misitu ya asili isiendelee kuharibiwa na kutoweka? Yafuatayo yanafaa kuzingatiwa na kufanyiwa kazi ipasavyo:
Mnataka viashiria vya udini? Hivi hapa
Bunge limepitisha “Azimio la Bunge” linaloitaka Serikali ipambane ili kukomesha viashiria vyote vya udini nchini mwetu. Ni Azimio zuri.
FIKRA YA HEKIMA