JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bila uwajibikaji Tanzania tutakwama (3)

 

Baada ya kuonesha mifano miwili hiyo kuhusu uwajibikaji ulivyokuwa katika nchi yetu enzi za Mwalimu, sasa turudi kwenye hali ya sasa ya kuporomoka kwa maghorofa hapa jijini Dar es Salaam.

 

Yah: Huu ndio utu tulioimba enzi zetu za ujamaa.

Niwape pole wale wote waliopata maswahibu mabaya huko Kusini mwa Tanzania kwa sababu ya matatizo ya gesi, kama ni kweli, lakini nadhani hiyo ni propaganda ya watu wajanja katika kuhitimisha fikra zao za kujinufaisha zaidi badala ya utu kwanza.

Serikali ifute utaratibu wa mikopo kwa wanafunzi

Jumamosi iliyopita nilikuwa katika kipindi cha Jicho la Habari kinachorushwa na Televisheni ya Star. Moja ya hoja nilizozizungumza ni kubadili utaratibu wa sasa jinsi mikopo inavyotolewa kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Binafsi nimejiridhisha pasipo shaka kuwa utaratibu huu umechangia kwa kiasi kikubwa kushusha kiwango cha elimu nchini.

Kada wa CCM awauzia Wazungu ardhi

Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee, juzi aliwasilisha hotuba yake bungeni na kueleza mambo mengi. Miongoni mwa hayo ni uporaji wa ardhi uliofanywa na kiongozi wa CCM. Ifuatayo ni sehemu ya hotuba hiyo:

King Majuto: Serikali inisaidie trekta

Hivi karibuni, gazeti la JAMHURI limefanya mahojiano na Amri Athumani, anayejulikana pia kama King Majuto. King Majuto amekuwa mwigizaji wa vichekesho kwa miaka 55 iliyopita. Mtanzania huyu mwenye umri wa miaka 65 anajivunia tasnia ya uigizaji, ila anaomba Serikali imsaidie trekta aweze kushiriki Kilimo Kwanza.

FIKRA YA HEKIMA

 

Mbunge Nyimbo kanena,

Rais apewe kipaumbele

Hivi karibuni, Mbunge wa Viti Maalumu, Tauhida Cassian Nyimbo (CCM), alivishauri vyombo vya habari kujenga dhana ya kuzipatia kipaumbele habari za Kiongozi wa Nchi, Rais.