JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Nakiona kifo cha Tanzania

*Naendelea kusimama kama Galileo Galilei

Mjadala unaoendelea sasa miongoni mwa Watanzania wengi, ni huu unaohusu Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyozinduliwa wiki iliyopita.

Rage ni tatizo Simba-Kalimauganga

Mwenyekiti wa Friends of Simba, Mkoa wa Tabora, Sadiki Kalimauganga, amesema kuwa kufanya vibaya kwa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam, katika Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika hivi karibuni, kunatokana na uongozi mbovu wa Ismael Aden Rage.

Wabunge maslahi watalipeleka taifa msituni

Wiki iliyopita nilijizuia kuandika juu ya Bunge na wabunge wetu. Nilijizuia baada ya kusikiliza mjadala uliokuwa unaendelea bungeni, nikawasikiliza wabunge maslahi wanaochangia kwa nguvu hadi wanatokwa na povu midomoni, bila kulieleza Bunge sawa bin sawia kuwa maumivu waliyopata kwa wanahabari yanatokana na maovu yao.

Waziri wa zamani aitahadharisha Serikali

*Asisitiza mgawo sawa wa rasilimali

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige, ni Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii. Mei 25, mwaka huu alichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini. Pamoja na mambo mengine, aliitaka Serikali itoe mgawo stahiki wa mapato kwa maeneo yenye rasilimali. Anaamini mawazo yake yanaweza kuwa tiba kwa kuepusha nchi na machafuko kama yale yanayofukuta mkoani Mtwara. Ifuatayo ni hotuba yake, neno kwa neno.

FIKRA YA HEKIMA

Dalili mbaya CCM kuelekea 2015

Ni dhahiri kuwa sasa dalili mbaya zimeanza kuonekana ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, mwaka 2015.

FASIHI FASAHA

Haki, ukweli ni nguzo za amani

Tanzania inaelekea kupoteza sifa ya upendo, ukarimu na uzalendo kutokana na hulka ya baadhi ya viongozi hapa nchini kupuuza na kutupa uadilifu. Sababu za kufanya hivyo ni kuweka mbele nafsi, kujilimbikizia mali, kudhulumu na kupenda mno anasa.