Category: MCHANGANYIKO
Majangili watumia silaha za kivita
Matarajio ya kukiachia kizazi kijacho urithi wa rasilimali za wanyamapori, hasa tembo yanafifia nchini Tanzania .
Bajeti ya magari, bia, soda, sigara na simu ni hatari
Nasikitika kusema bajeti imenikatisha tamaa. Najua watu wengi wamekwishaizungumzia, najua wengi wameisifia. Wamesifia fedha zilizotengwa kwa ajili ya maji, umeme na reli. Ila mimi nimesikitika. Nimesikitika si kwa sababu nyingine, bali kuona imekuwa bajeti ya mazoea.
WARAKA WA MIHARE
Waraka wa Mihale kwa Watanzania
Amani iwe kwenu wapenzi wasomaji wa Gazeti la JAMHURI. Karibuni katika safu mpya ya ‘Waraka wa Mihale kwa Watanzania’ itakayokuwa ikijadili mambo mbalimbali yahusuyo mustakabali wa nchi yetu.
Yah: Eti serikali tatu, hiyo moja tu matatizo
Wanangu, nianze kwa kuwashukuru kwa kuwa pamoja katika kipindi hiki cha mchakato wa katiba mpya ya nchi yetu. Naiita katiba mpya kwa kuwa hatujawahi kuifuta tuliyonayo sasa isipokuwa tulikuwa tunaijazia viraka vya hapa na pale ili kufukia mashimo.
Tanganyika inarejea, TAKUKURU iko wapi?
Wiki iliyopita Tume ya Marekebisho ya Katiba ilitangaza rasimu ya kwanza. Rasimu hii ina kila sababu ya kusifiwa. Nilipata fursa ya kuwakilisha Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwa kuchambua na kuwasilisha mapendekezo ya tasnia ya habari nchini. Kwa ufupi nasema, asanteni wajumbe wa Tume kwa kusikiliza kilio cha Wanahabari.
Julio: Kibadeni atafanya makubwa Simba
Kocha Msaidizi wa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam, Jumhuri Kiwelu ‘Julio’ amesema kuwa kuwapo kwa Kocha Mkuu mzawa katika timu hiyo, King Abdallah Kibadeni ‘Mputa’, kutaiwezesha kufanya vizuri katika michuano ijao.