JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais + Makamu wawili = Kudumisha Muungano

Mpendwa msomaji, ni katika hali isiyo ya kawaida leo nimelazimika kuandika makala mbili katika Safu hii ya Sitanii. Nimechukua hatua hii kutokana na uzito wa hoja hizi mbili. Mwanzo niliwaza kuzichanganya, lakini nikaona kila moja ina uzito wa ina yake.

CHADEMA, CCM wana siri ya Arusha, Kibanda, Dk. Ulimboka

Mpendwa msomaji, leo najadili mada ya mwelekeo wa kisiasa katika nchi yetu. Nimeijadili mada hii kwa kina katika Kipindi cha ‘Jicho la Habari’ kinachorushwa na Star TV kila Jumamosi asubuhi kati ya saa 1:30 na saa 3:00 asubuhi. Katika mjadala ule, nilijaribu kuangalia mustakabali wa taifa hili.

BONIFACE WAMBURA:

Kiwango cha soka kinakua Tanzania

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeeleza kuridhishwa na ukuaji wa kiwango cha mpira wa miguu hapa nchini. Msimamo huo umetolewa na Ofisa Uhusiano wa TFF, Boniface Wambura katika mahojiano maalum na JAMHURI jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.

Rais Obama: Haijapata kutokea

*Manowari, ndege vita kufunika anga la Tanzania

*Mashushushu zaidi ya 60 kumlinda akiwa D’Salaam

*Vioo maalumu visivyopenya risasi vyaletwa toka USA

Rais Obama anayetarajiwa kuwasili hapa nchini wiki ijayo, ziara yake itakuwa na mambo mengi ya kusisimua na kuonesha ukwasi wa Taifa hilo lenye nguvu za kijeshi na kiuchumi kuliko taifa lolote katika sayari hii ya dunia.

Kumwachia Iddi Simba si bure, kuna kitu

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, alipotamka kwamba taasisi hiyo haina uwezo wa kuwabana mapapa wa rushwa nchini, alishambuliwa.

FIkRA YA HEKIMA

Tanzania imefilisika wanasiasa wakweli

Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi pekee katika Afrika na pengine duniani, yenye idadi kubwa ya viongozi wa kisiasa waongo na wanafiki kupindukia!