Category: MCHANGANYIKO
Sisi bodaboda wao wachukue madini
Wiki iliyopita niliandika maono yangu juu ya kifo cha Tanzania. Nimepata ujumbe wa maandishi na simu nyingi. Wapo walioniunga mkono, wengine wamenishambulia. Kwangu, yote ni heri, kwani hiyo ndiyo faida ya demokrasia na uhuru wa kutoa mawazo.
Kenya, Malawi zilivyolingana nguvu
Timu za soka za Malawi na Kenya, wiki iliyopita zilidhihirisha kulingana nguvu kwa kufungana mabao 2-2 mjini Blantyre, katika mechi ya kufuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia.
Soka la Tanzania bado – Mwaisabula
Kocha mahiri wa soka nchini, Kenedy Mwaisabula ‘Mzazi’, amesema Tanzania bado ina safari ndefu ya kufikia mafaniko katika soka kwa kulinganisha na za Ulaya.
Majangili watumia silaha za kivita
Matarajio ya kukiachia kizazi kijacho urithi wa rasilimali za wanyamapori, hasa tembo yanafifia nchini Tanzania .
Bajeti ya magari, bia, soda, sigara na simu ni hatari
Nasikitika kusema bajeti imenikatisha tamaa. Najua watu wengi wamekwishaizungumzia, najua wengi wameisifia. Wamesifia fedha zilizotengwa kwa ajili ya maji, umeme na reli. Ila mimi nimesikitika. Nimesikitika si kwa sababu nyingine, bali kuona imekuwa bajeti ya mazoea.
WARAKA WA MIHARE
Waraka wa Mihale kwa Watanzania
Amani iwe kwenu wapenzi wasomaji wa Gazeti la JAMHURI. Karibuni katika safu mpya ya ‘Waraka wa Mihale kwa Watanzania’ itakayokuwa ikijadili mambo mbalimbali yahusuyo mustakabali wa nchi yetu.