JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Obama: Haijapata kutokea

*Manowari, ndege vita kufunika anga la Tanzania

*Mashushushu zaidi ya 60 kumlinda akiwa D’Salaam

*Vioo maalumu visivyopenya risasi vyaletwa toka USA

Rais Obama anayetarajiwa kuwasili hapa nchini wiki ijayo, ziara yake itakuwa na mambo mengi ya kusisimua na kuonesha ukwasi wa Taifa hilo lenye nguvu za kijeshi na kiuchumi kuliko taifa lolote katika sayari hii ya dunia.

Kumwachia Iddi Simba si bure, kuna kitu

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, alipotamka kwamba taasisi hiyo haina uwezo wa kuwabana mapapa wa rushwa nchini, alishambuliwa.

FIkRA YA HEKIMA

Tanzania imefilisika wanasiasa wakweli

Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi pekee katika Afrika na pengine duniani, yenye idadi kubwa ya viongozi wa kisiasa waongo na wanafiki kupindukia!

Watanzania wasaka kura BBA

Watanzania wanaoshiriki shindano la Big Brother Afrika (BBA) wanasaka kwa udi na uvumba kura za kuwawezesha kuendelea katika shindano hilo linalofanyika Johannesburg, Afrika Kusini.

FikRA YA HEKIMA

Ulinzi wa wanyamapori  liwe jukumu la kila mtu

Sekta ya utalii ina nafasi kubwa ya kuendelea kuinua uchumi wa taifa letu, ikiwa kila Mtanzania atawajibika kulinda rasilimali za wanyamapori na mazingira hai.

FASIHI FASAHA

Haki, ukweli ni nguzo za amani (2)

Juma lililopita nilisema baadhi ya viongozi wa dini, siasa na Serikali pamoja na wananchi vibaraka ni vyanzo vya kuhatarisha uvunjifu wa amani nchini, kutokana na kuweka kando maadili na miiko ya uongozi na  kutozingatia kauli ya Mwenyezi Mungu kuhusu haki, ukweli, uongo, upendo na ukarimu.