Category: MCHANGANYIKO
Rais Obama: Haijapata kutokea
*Manowari, ndege vita kufunika anga la Tanzania
*Mashushushu zaidi ya 60 kumlinda akiwa D’Salaam
*Vioo maalumu visivyopenya risasi vyaletwa toka USA
Rais Obama anayetarajiwa kuwasili hapa nchini wiki ijayo, ziara yake itakuwa na mambo mengi ya kusisimua na kuonesha ukwasi wa Taifa hilo lenye nguvu za kijeshi na kiuchumi kuliko taifa lolote katika sayari hii ya dunia.
Kumwachia Iddi Simba si bure, kuna kitu
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, alipotamka kwamba taasisi hiyo haina uwezo wa kuwabana mapapa wa rushwa nchini, alishambuliwa.
FIkRA YA HEKIMA
Tanzania imefilisika wanasiasa wakweli
Tanzania inaweza kuwa ndiyo nchi pekee katika Afrika na pengine duniani, yenye idadi kubwa ya viongozi wa kisiasa waongo na wanafiki kupindukia!
Watanzania wasaka kura BBA
Watanzania wanaoshiriki shindano la Big Brother Afrika (BBA) wanasaka kwa udi na uvumba kura za kuwawezesha kuendelea katika shindano hilo linalofanyika Johannesburg, Afrika Kusini.
FikRA YA HEKIMA
Ulinzi wa wanyamapori liwe jukumu la kila mtu
Sekta ya utalii ina nafasi kubwa ya kuendelea kuinua uchumi wa taifa letu, ikiwa kila Mtanzania atawajibika kulinda rasilimali za wanyamapori na mazingira hai.
FASIHI FASAHA
Haki, ukweli ni nguzo za amani (2)
Juma lililopita nilisema baadhi ya viongozi wa dini, siasa na Serikali pamoja na wananchi vibaraka ni vyanzo vya kuhatarisha uvunjifu wa amani nchini, kutokana na kuweka kando maadili na miiko ya uongozi na kutozingatia kauli ya Mwenyezi Mungu kuhusu haki, ukweli, uongo, upendo na ukarimu.