JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yah: Hili la makanisa nalo liangaliwe upya

Nianze kwa kusali Kikristo: Baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako yatimizwe kama yanavyotimizwa huko mbinguni, utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe wanaotukosea, usitutie majaribuni…… ameni.

Vita ya uhuru wa Marekani

Vita ya Uhuru wa Marekani ilipiganwa kati ya Waingereza na walowezi wa makoloni yake 13  kwenye pwani ya Amerika ya Kaskazini katika miaka 1775 hadi 1783.

Jeshi la walowezi lililoongozwa na George Washington na wengine lilishinda Jeshi la Dola la Uingereza kwa msaada wa Ufaransa. Makoloni hayo yakapata Uhuru kama Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani.

Vionjo vya marais wa Marekani

*Barack Obama: Mweusi wa kwanza kuiongoza

* Kennedy: Ndiye Mkatoliki pekee kukubalika

*Franklin: Alidumu muda mrefu madarakani

*William Henry: Aliongoza kwa siku 32 pekee

Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani, Rais wa Marekani ndiye mkuu wa nchi na Serikali ya Marekani. Ndiye mkuu wa Serikali ya Shirikisho, na ofisi ya rais ndiyo kubwa kiutawala nchini humo. Rais pia ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Marekani.

Marekani ni fursa, Watanzania tuikumbatie

Taifa la Marekani limefika mahala sasa linaliamini taifa la Tanzania. Miaka ya 1960 na 1970 kutokana na Vita Baridi kati ya Marekani na Urusi, ilikuwa vigumu kwa Marekani kufanya kazi na Tanzania.

Marekani inavyoinufaisha Tanzania kupitia AGOA

Rais wa Marekani Barack Obama yupo hapa nchini kwa ziara ya kiserikali. Ujio wa Obama umekuwa na shamrashamra nyingi si tu Dar es Salaam bali macho na masikio ya Watanzania wote yameelekezwa katika safari hii. Ni ziara ambayo pamoja na mambo mengine mengi, pia imekusudia kuimarisha uhusiano baina ya Tanzania na Maekani.

MCC, yang’arisha miradi ya kijamii Tanzania

. Umeme wapewa kipaumbele

Mradi mkubwa wa ukarabati na upanuzi wa mfumo wa kusambaza umeme utakaohusisha mikoa 10, wilaya 24 na vijiji 356 Tanzania umezinduliwa hivi karibuni, ikiwa ni matunda ya Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC).